Search This Blog

Tuesday, July 13, 2021

Ndege ya Uganda yachelewesha safari kwa kuishiwa mafuta Tanzania


Abiria wanaokwenda Uganda kwa kutumia ndege aina ya Uganda Airlines walichelewa kuondoka jana jioni katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini, Dar es Salaam nchini Tanzania kwa saa kadhaa baada ya kuishiwa mafuta, gazeti la Daily Monitor limeandika.

Ndege hiyo ilieleza sababu ya kuchelewesha safari yake ni kutokana na kuchelewa kupokea mafuta ambayo walikuwa wameyaagiza.

Aidha uongozi wa kampuni hiyo ya ndege iliandika taarifa katika mitandao ya kijamii kuomba radhi kwa tukio lililotokea na kuhaidi tukio hilo kutojirudia siku zijazo.





No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...