Search This Blog

Saturday, July 3, 2021

Kikosi cha maangamizi cha Yanga dhidi ya Simba kwa Mkapa

 


YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi inatarajiwa kumenyana na Simba leo Uwanja wa Mkapa majira ya saa 11:00.

Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza leo dhidi ya Simba:-


Farouk Shikalo


Abdalah Shaibu


Adeyum Saleh


Kibwana Shomari


Bakari Mwamnyeto


Kibwana Shomari


Fei Toto


Deus Kaseke


Yacouba Songne


Said Ntibanzokiza


Tuisila Kisinda



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...