Search This Blog

Sunday, July 11, 2021

Hatimae Messi atwaa Kombe lake la kwanza na Argentina

Hatimae Lionel Messi anashinda Kombe lake la kwanza na Timu ya Taifa baada ya Argentina kuifunga Brazil leo goli 1-0 lililofungwa na Di Maria dakika 22 katika michuano ya Copa America.

Messi amefanikiwa kucheza fainali nne za Copa America 2007, 2015 na 2016 zote Argentina alipoteza kabla ya fainali ya nne leo kuandika historia mpya.

Messi amefanikiwa pia kuibuka mchezaji bora wa mashindano, mfungaji bora akiwa na magoli 4 na assist 5, amechangia katika magoli 9 ya Argentina kati ya 12 yaliofungwa katika michuano hii huku akicheza dakika zote 630 za michuano hiyo sawa na mechi 7.



 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...