Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam na Pwani, imefanikiwa kusambaza maji kwa wakazi wa mikoa hiyo kwa asilimia 92 mpaka sasa.
Akitoa tathmini ya utendaji kazi wa mamlaka hiyo mbele ya Waziri wa Maji Jumaa Aweso, Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja, amesema bado mamlaka hiyo inaendelea kusambaza huduma ya maji kwa maeneo ambayo wanayahudumia ikiwemo kununua mitambo ya kisasa ya kufikisha huduma ya maji kwa wananchi.
No comments:
Post a Comment