Search This Blog

Wednesday, July 28, 2021

Breaking News: Rais Samia achanjwa chanjo ya corona


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Akizindua zoezi la utoaji wa chanjo ya UVIKO 19 , Ikulu Jijini Dar es Salaam, Leo Julai 28, 2021


“Mimi ni mama wa watoto 4 na ni bibi wa wajukuu kadhaa wanaonitegemea,ni mke pia, ni rais na amri jeshi mkuu..nisingetoka kujihatarisha wakati ninategemewa. Sioni hatari iliyopo kuchanjwa. Wanasayansi wamejiridhisha na Mimi nipo Tayari kuchanjwa” Samia Suluhu Hassan 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...