Mamlaka nchini Ethiopia katika eneo la Amhara imesema watafungua mashtaka dhidi ya jeshi la majirani zao wa Tigray.
Waasi wamechukua maeneo mengi ya Tigray katika wiki za hivi karibuni, na vikosi vya nchi hiyo na washirika wake kuondoka katika maeneo muhimu.
Msemaji wa serikali ya Amhara imesema uvumilivu unawashinda.
"Leo , tumefungua mashtaka".
Wajumbe wa zamani wa usalama wametakiwa kujitolea na kuhamasisha.
Vikosi vya Tigray vikiwa vinaelekea katika eneo la Amhara katika vita ya wenyewe kwa wenyewe . Huku pande zote mbili zikiona kuwa na haki .
Inaonekana kuwa na ari kubwa ambayo inaweza kusababisha damu kumwagika tena na kuanzisha awamu nyingine ya mgogoro.
Awali Ethiopia ilikuwa nchi imara katika Pembe la Afrika na mshirika muhimu wa Magharibi katika vita dhidi ya ugaidi.
Na sasa iko kwenye hatari ya kuongezeka kwa vita zidi na kuwa taifa dhaifu barani Afrika.

No comments:
Post a Comment