Search This Blog

Monday, June 28, 2021

Wanajeshi 7 wafariki kwenye shambulizi lililotekelezwa dhidi ya vitengo vya kijeshi nchini Mali


Wanajeshi 7 wameripotiwa kupoteza maisha kwenye shambulizi lililotekelezwa dhidi ya vitengo vya kijeshi katika maeneo ya ndani ya nchi ya Mali.

Katika taarifa iliyotolewa juu ya tukio hilo, ilielezwa kuwa watu wenye silaha wasiojulikana walishambulia vitengo vya kijeshi  katika mkoa wa Boni siku ya Ijumaa.

Ilisisitizwa kuwa wanajeshi 7 walipoteza maisha katika tukio hilo na washambuliaji waliweza kukabiliwa.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...