Search This Blog

Sunday, June 6, 2021

Serikali kuwachukulia hatua watakaotumia mtando wa Twitter

 


Serikali ya Nigeria imesema itawachukulia  hatua za kisheriawatu watakaobainika  kukiuka katazo la matumizi ya mtandao wa kijamii wa Twitter.

Juni 4, 2021 Nigeria ilitangaza kusitisha matumizi ya mtandao huo.

Baada ya Twitter kufuta ujumbe uliowekwa na Rais wa nchi hiyo, Muhammadu Buhari kwa kukiuka sheria za mtandao huo.

Msemaji wa Serikali ya Nigeria  amesema kuondolewa kwa ujumbe huo kulikatisha tamaa lakini sio sababu pekee ya kusimamishwa kwa muda kwa matumizi ya mtandao huo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...