Search This Blog

Monday, June 21, 2021

Raia wa Ethiopia wanapiga kura hii leo kumchagua Waziri Mkuu


Raia wa Ethiopia wanapiga kura hii leo kumchagua Waziri Mkuu, huku Waziri Mkuu anayeondoka madarakani Abiy Ahmed akitarajia kupata kiti hicho tena.

Uchaguzi huu unafanyika huku taifa hilo likiwa katika zozo wa kivita katika jimbo la Tigrey.

Bw Abiy anatazamiwa kupiga kura katika wilaya Beshaha iliyopo kusini- magharibi mwa Ethiopia alikozaliwa.

Wandishi wa BBC wametuma picha za watu wakipiga kura katika maeneo yaBeshaha na Agaro.

Agaro ni mjiuliopo katika jimbo ambako Bw Abiy anagombea dhidi ya wagombea wawili wa upinzani kuchaguliwa kama mbunge katikabunge la wawakilishi la Ethiopia.

Uchaguzi huu ni jaribio la kwanza kwa Waziri Mkuu tangu alipoingia madarakani mwaka 2018.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...