Search This Blog

Thursday, June 3, 2021

Msigwa, Sugu wamshtaki AG na Kamishina Magereza


Waliokuwa wabunge wa Iringa na Mbeya Mjini, Mchungaji Peter Msigwa na Joseph Mbilingi “SUGU” wamefungua kesi za Kikatiba katika Mahakama Kuu ya Tanzania masjala Kuu ya Dar es Salaam dhidi ya Mwanasheria Mkuu na Kamishina wa Magereza Tanzania.

Wawili hao wamefungua kesi hiyo wakipinga ukiukwaji wa haki zao za msingi wakati wa kutumikia adhabu zao waliopewa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...