Search This Blog

Sunday, June 27, 2021

Kikwete: Viongozi endesheni klabu kwa uwazi na uwajibikaji

 

Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amewaambia Viongozi wa Klabu ya Yanga kuendesha klabu hiyo kwa Uwazi na Uwajibikaji

Amewataka wasitumie Klabu kuwa kama MKUKUTA wao kwa maana ya kuiba na kuboresha maisha yao huku akisema uwazi na uwajibikaji utapunguza wizi na udokozi wa Mali za Klabu



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...