Search This Blog

Wednesday, June 30, 2021

Kelele na mitetemo inapelekea vifo - Dkt. Gwajima


Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima, amesema kuwa kitaalamu ni kwamba kelele na mitetemo ni moja wapo ya tatizo linalosababisha vifo na magonjwa Duniani.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma, wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Selemani Jafo, akitoa tamko kwa umma juu ya udhibiti wa uchafuzi wa mazingira utokanao na kelele na mitetemo, ambapo wamiliki wa maeneo ya burudani na starehe wametakiwa kuzingatia matumizi ya vipima kelele na vizuia sauti kama ilivyoelekezwa kwenye masharti yote ya leseni zao.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...