Search This Blog

Tuesday, June 8, 2021

Diva atambulshwa Wasaf FM , anunulwa gari na Damond mshara wake n mara tatu ya alokuwa analipwa Clouds

 


Yametimia! Hatimaye Mtangazaji mahiri kwenye tasnia ya habari nchini, Diva ambaye alkuwa anafanya kaz Clouds sasa ni mtangazaji wa kituo cha Wasafi Fm.

Diva ametambulshwa jana usku huu na kituo hicho cha Wasafi.

Diva atakuwa nahodha wa kipindi kipya ndani ya Wasafi Fm kiitwacho LaviDavi ambacho kitakuwa kikiruka kila Jumatatu - Ijumaa, Saa 4 - 6 Usiku

"Nitaendelea kumuheshimu Diamond kwasababu sasa ni Boss wangu na amenipa Value ambayo sijawahi kuipata katika Career yangu,  Walivyosema wanataka kufanya kazi na mimi Diamond aliniuliza Nataka nini . Nikataja mavitu kibao, mshahara mara 3 niliokua nalipwa na gari juu ila Diamond hakutaka mazungumzo Mengi akasema nipewe ninachotaka "  alsema diva.

 Dva amesema kwamba amenunulwa gar na Damond na Ndingahyo imenunulwa CASH ! na alikuwa suprised kutokana na upya wa gari hilo .



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...