Search This Blog

Sunday, June 27, 2021

Burna Boy ashinda tuzo ya BET

 


Mwanamuziki Damini Ebunoluwa Ogulu Burna Boy kutoka Nchini Nigeria ameshinda Tuzo ya Best International Act katika Tuzo za Muziki za BET Awards 2021 zinazotolewa Usiku huu nchini Marekani.

Burnaboy alikuwa akichuana na Diamond Platnumz , Wiz Kid, Ayana Kamura Emicida, Headie One, Young Tand Bugsey na Youssou Phamusik



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...