Search This Blog

Tuesday, June 1, 2021

Breaking News: Rais Samia afanya ziara ya kushtukiza katika sokola Kariakoo, aagiza uongozi wa soko usimamishwe


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya ziara ya kushtukiza katika soko la Kariakoo.

 Mhe. Rais Samia alipotembelea soko la Kariakoo ajionea hali halisi na kupokea kero.na kuagiza uongozi wa soko usimamishwe.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...