Search This Blog
Wednesday, June 2, 2021
Anna Mghwira alipoteuliwa alisumbuliwa sana, nimemteua Queen Sendinga sitaki litokee tena Iringa- Rais Samia
"Tulipomteua Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, wakuu wa wilaya kule walimsumbua sana kwa madai kuwa si mmoja wao, Sitaki hili litokee kule Iringa nimemteua Queen Sendinga mwanachama wa ADC,Rais hakosei"- amesema Rais Samia Suluhu Hassan
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment