Uongozi wa Klabu ya Yanga umethibitisha kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na mchezaji Carlinhos kufuatia ombi la mchezaji huyo alilowasilisha kwa uongozi wa Klabu hiyo na baada ya majadiliano na kwa kuzingatia maslahi mapana ya pande zote
Carlinhos alijiunga na Yanga Mwezi Agosti , 2020 akitokea Interclube ya Angola
No comments:
Post a Comment