Search This Blog

Thursday, May 27, 2021

Wimbi la Panya kwenye mashamba lilivyosababisha hasara kwa wakulima


Vijiji vya nchini Australia vimekuwa vitani kupambana na ukame, moto wa nyika na mafuriko kwa miaka michache iliyopita.

Wakulima mwishowe walipata pumziko kwa kuwa na hali ya hewa nzuri iliyowapa mazao mengi.

Hali hizo pia zilikuwa kichocheo kwa panya, na idadi yao ililipuka katika sehemu za New South Wales.

Wakulima watatu wamezungumza na BBC kuhusu maisha ya kupitia pigo baya zaidi la wimbi la panya.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...