Search This Blog

Friday, May 14, 2021

Undani wa kusimamishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Hai

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili.


Taarifa ya Ikulu iliyotolewa Mei 13, 2021 imeeleza undani.






No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...