Search This Blog

Monday, May 24, 2021

The Weeknd ashinda Tuzo 10 za Billboard 2021


 Mkali wa RNB Kutokea Nchini Canada TheWeeknd ndiye Msanii aliyeongoza kwa kushinda Tuzo Nyingi zaidi katika Tuzo za Muziki za Billboard 2021 Zilizotolewa Usiku wa kuamkia Leo

The Weeknd ameshinda Jumla ya Tuzo 10 ikiwemo Top artist, Top Male Artist, Top R&B Artist, Top Hot 100 Artist, Top R&B Male Artist, Top Radio Song, Top Radio Songs Artist, Top male artist, top Hot 100 song kupitia Ngoma yake “Blinding Lights” na top R&B album kupitia Album yake ya “After Hours.”



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...