Mbunge wa Jimbo la Konde (Zanzibar) Ndugu, Khatib Haji amefariki dunia alfajiri ya leo Mei 20, 2021
Kwa mujibu wa taarifa ya ACT-Wazalendo, Haji amefariki Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akipatiwa matibabu
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
No comments:
Post a Comment