Rais wa Uganda, Yoweri Museveni atafanya ziara ya kikazi ya siku moja leo Mei 20, 2021 kufuatia mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan
Akiwa Nchini, Rais Museveni na Rais Samia watashuhudia utiaji saini wa Mikataba ya utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Bandari ya Tanga, kati ya Serikali ya #Tanzania na Kampuni za Uwekezaji katika mradi huo (Host Government Agreement)
No comments:
Post a Comment