Search This Blog

Saturday, May 8, 2021

Spika Ndugai afuturisha waheshimiwa Wabunge Jijini Dodoma

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai awaongoza Waheshimiwa Wabunge katika futari aliyoiandaa kwa Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 07, 202, anaefuata ni Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu.
Waheshimiwa wabunge wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Spika Job Ndugai kwenye viwanja vya bunge Jijini Dodoma, Mei 07, 2021.


 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...