Search This Blog

Monday, May 10, 2021

Saud Arabia itaandaa ibada ya hijja ya Makka lakini kwa mazingira maalumu

 


Saudi Arabia itaandaa ibada ya Hijja ya Makka kwa mwaka huu lakini kwa mazingira maalumu, yenye kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Covid-19. 

Habari hiyo ni kwa mujibu wa televisheni ya umma.Ikieleza kwa kunukuu wizara ya inayohusika na hijja televisheni hiyo ilieleza kwamba utaratibu na masharti ya kufanikisha ibada hiyo utatangazwa katika kipindi kijacho.

Mwaka uliopita, Saudi Arabia iliruhusu idadi ndogo ya mahujaji wa ndani ya taifa hilo kutokana na kuzuka kwa janga la virusi vya corona.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...