Rais Samia ataawapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani na Majaji wa Mahakama Kuu leo Jumatatu May 17,2021 kuanzia saa 9:00 Alasiri.
Viongozi hao wataapishwa katika Ukumbi wa Kikwete Ikulu Dar es salam
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
No comments:
Post a Comment