Search This Blog

Sunday, May 16, 2021

Rais Samia kuwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani na Majaji wa Mahakama Kuu leo


Rais Samia  ataawapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani na Majaji wa Mahakama Kuu leo Jumatatu May 17,2021 kuanzia saa 9:00 Alasiri.

Viongozi hao wataapishwa katika Ukumbi wa Kikwete Ikulu Dar es salam



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...