Search This Blog

Thursday, May 6, 2021

Malkia wa Zulu kuzikwa katika sherehe ya faragha

Malkia wa Zulu, Mantfombi Dlamini Zulu, anatarajiwa kuzikwa katika sherehe ya faragha mkoani KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini.

Alifariki ghafla mjini Johannesburg wiki iliyopita, karibu mwezi mmoja baada ya kifo cha mume wake, Mfalme Goodwill Zwelithini.

Familia haijatangaza hadharani chanzo cha kifo chake.

Licha ya sherehe kubwa, wasichana wa Kizulu waliofuata na mwili wa Malkia Mantfombi kurudi ikulu yake Jumatano jioni.

Uamuzi wa atakayeongoza ufalme wa Zulu unatarajiwa kutolewa baada ya mazishi.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...