Search This Blog

Friday, May 7, 2021

Kenya kufanya sensa ya kwanza ya wanyama pori

 


Kwa mara ya kwanza, mamlaka ya Kenya inazindua sensa ya wanyama pori siku ya Ijumaa.

Zoezi hilo litazinduliwa rasmi mashariki mwa Kenya katika hifadhi ya taifa ya milima ya Shimba.

Mamlaka ya wanyama pori (KWS) imesema sensa ya wanyama wa porini kitaifa imelenga kupata jumla ya idadi ya wanyama pori na eneo walipo.

"Zoezi hili litabainisha idadi ya wanyama pori waliopo na kutambua vitisho vilivyowakabili katika hifadhi," huduma ya wanyama pori imeeleza.

KWS na watafiti wa wanyama pori na taasisi ya mafunzo - taasisi huru ambayo inafanya utafiti wa hifadhi za wanyama pori na wanaowasimamia.

Kenya ina hifadhi za wanyama pori katika maeneo mbalimbali ya nchi.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...