Search This Blog

Friday, May 28, 2021

Hiki hapa kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini Juni 5

 


KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoingia kambini Juni 5, kujiandaana mchezo wa kirafiki dhidi ya Malawi:-

Aishi Manula wa Simba


Metacha Mnata wa Yanga


Juma Kaseja wa KMC


Shomari Kapombe wa Simba


Israel Mwenda wa KMC


Mohamed Hussein wa Simba


Edward Manyama wa Ruvu Shooting


Erasto Nyoni wa Simba


Bakari Nondo wa Yanga


Kened Juma wa Simba


Dickson Job wa Yanga


Nickson Kibababage wa Youssoufia FC ya Morocco


Simon Msuva wa Waydad AC ya Morrocco


Hassan Dilunga wa Simba


Mzamiru Yassin wa Simba


Fei Toto wa Yanga


Salum Abubakhari wa Azam FC


Braison Nkulula wa Azam FC


Idd Nado wa Azam FC


Mbwana Samatta wa Fenerbahce FC 


John Bocco wa Simba


Abdul Suleiman wa Coastal Union


Ayoub Lyanga wa Azam


Denis Kibu wa Mbeya City


Meschack Abraham wa Gwambina


Novatus Dismas wa Maccabi Tel Aviv


Yusuph Mhilu wa Kagera Sugar




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...