Search This Blog

Thursday, May 27, 2021

Dkt. Mpango afunga maonesho ya wiki ya kumbukizi ya Hayati Sokoine SUA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akipata maelezo kutoka kwa Mussa Gese Dotto Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro SUA ambae ni Mbunifu wa kutengeneza Gari Shamba, alipotembelea Maonesho ya ufungaji Wiki ya Maadhimisho ya 17 ya Kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine yaliyofanyika leo Mei 27,2021 katika Kampasi ya Moringe Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro SUA.


 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kituo cha kudhibiti Viumbe Hai Waharibifu Dkt. Ladslaus Mnyome kuhusu Panya aliyepata mafunzo ya kufanya Utafiti wa kugundua Vimelea vya Kifua Kikuu pamoja na kugundua Mabomu yaliyotegwa Ardhini, alipotembelea Maonesho ya ufungaji Wiki ya Maadhimisho ya 17 ya Kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine yaliyofanyika leo Mei 27,2021 katika Kampasi ya Moringe Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro SUA.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...