Search This Blog

Sunday, May 30, 2021

Chelsea mabingwa wa UEFA Champions League, Tuchel aendelea kumtesa Guardiola

Bao pekee la Kai Haverts wa Chelsea dakika ya 42 lilitosha kuipa timu hiyo ubingwa wa UEFA Champions League  mbele ya Manchester City ambao ni Mabingwa wa Ligi Kuu England. 

Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Dragao majira ya saa 4:00 usiku ambapo mbinu za Kocha Mkuu wa Chelsea,  Thomas Tuchel zilimzidi Kocha Mkuu wa City, Pep Guardiola. 





 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...