Search This Blog

Friday, May 21, 2021

Anne Makinda: Tanzania imechangia kwa kiasi kikubwa kukua kwa SADC

 


Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amesema Tanzania imechangia kwa kiasi kikubwa kukua kwa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

Mama Makinda amesema wapigania Uhuru wengi kutoka nchi Wanachama wa SADC walipata msaada kutoka Tanzania, hivyo ni wajibu kuendeleza umoja miongoni mwa nchi za Jumuiya hiyo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...