Search This Blog

Tuesday, April 27, 2021

Watu 9 wafariki kwenye shambulizi la silaha lililotokea nchini Nigeria

Watu 9 waliuawa na wengine wengi walijeruhiwa katika shambulizi lililotekelezwa na watu wenye silaha katika jimbo la Anambra nchini Nigeria.

Msemaji wa Polisi wa Anambra, Tochukwu Ikenga alisema kuwa vikosi vya usalama vilitumwa eneo la tukio.

Ikenga aliongezea kusema kuwa hali ya usalama ilidhibitiwa katika mkoa huo.

Katika taarifa kwenye vyombo vya habari vya kitaifa, ilidaiwa kuwa watu 19 walikufa katika shambulizi hilo.

Kwa upande mwingine, ilani ya marufuku ya kutoka nje ilitangazwa kutokana na visa vya vurugu katika mkoa huo.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...