" Wakati ananikandamiza na kuchochea kwa kusema nimekosea sikuwa najua Chuki yake inatoka wapi . Lakini imekuja kunishangaza sana kuja kuona kumbe yeye ndio anafanya mabaya zaidi ya aliyokua nayakemea " - Ryvanny .
Sina muda wa kutafuta Kiki, sihitaji Kiki ili kuuza muziki wangu kwasababu Napenda na Mashabiki . Bali lengo ni kumfunza kuwa alichokifanya si sahihi na anatakiwa kuomba radhi " - @rayvanny
Inapofikia point mtu kaingia kwenye maisha yangu siwezi kukaa kimya mimi nitaingia kwenye haki - Rayvanny
"Kuna watu amewaumiza kwa alichokifanya, Familia ya Watu inatukanwa mitandaoni, nilitegemea aombe radhi lakini ndio kwanza akaitumia kama Kiki na kwenda kutoa wimbo " - Rayvanny .

No comments:
Post a Comment