Search This Blog

Tuesday, April 27, 2021

Ratiba ya mechi za Ligi Kuu ya Vodacom leo

Leo Aprili 27 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili kuna mechi mbili ambazo zitachezwa kwa timu kusaka point tatu muhimu.

Uwanja wa Gwambina Complex itakuwa ni Gwambina FC v Mwadui FC, saa 10:00 jioni.

Uwanja wa Mkapa ni Simba v Dodoma Jiji, saa 1:00 usiku. 



 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...