Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amerejea kutoka London, alikokuwa amesafiri kufanyiwa kimatibabu.
Kurudi kwake siku ya Alhamisi kulitangazwa kupitia ujumbe wa akaunti ya Twitter ya serikali:
Rais, ambaye alifanya ziara ya ‘kawaida ya matibabu’ kwenda Uingereza mnamo Machi 30, amekosolewa sana kwa kuamua kutibiwa nje ya nchi wakati mfumo wa huduma ya afya nchini mwake ‘ukisimamiwa vibaya na kukosa ufadhili wa kutosha’vyombo vya habari vya huko viliripoti,Nigeria pia inakabiliwa na ukosefu wa usalama, huku mashambulizi kadhaa yakiripotiwa wakati Rais Buhari alipokuwa hayupo

No comments:
Post a Comment