Search This Blog

Wednesday, April 14, 2021

Putin achomwa dozi ya pili ya chanjo ya Covid-19


Rais wa Urusi Vladimir Putin ametangaza kuchomwa dozi ya pili ya chanjo ya corona (Covid-19).

Katika hotuba yake kwenye mkutano wa Jumuiya ya Kijiografia ya Urusi uliofanyika mtaondaoni, Putin alielezea matumaini yake kuwa ugonjwa huo utapungua hivi karibuni kutokana na chanjo inayotumika nchini.

Akibainisha kwamba alipewa dozi ya pili ya chanjo ya Covid-19 kabla ya kuanza mkutano, Putin alisema,

"Nina hakika kila kitu kitakuwa sawa."

Putin alipewa dozi ya kwanza ya chanjo ya Covid-19 mnamo Machi 23. Wakati hakuna taarifa yoyote iliyotolewa kuhusu aina ya chanjo ya Covid-19 aliyopewa Putin, mwendelezo wa chakato wa chanjo pia haukubainishwa  kwa waandishi wa habari.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...