Search This Blog

Tuesday, April 13, 2021

Marekani kuhakikisha Iran haimiliki Nyuklia kamwe


Marekani imetangaza kuwa itafanyia kazi usalama wa Israel na "kuhakikisha kuwa Iran haimiliki silaha za nyuklia kamwe".

Msemaji wa Baraza la Usalama la Kitaifa la Marekani Emily Horne alisema katika taarifa ya maandishi kwamba mkutano wa Ushauri cha Kimkakati cha Marekani na Israel ulifanyika chini ya mwenyekiti wa Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani  Jake Sullivan.

Mkutano huo ulijadili mbinu za kuongeza utulivu na usalama .

Mkamu wa Rais Harris amesisitiza usalama wa Israel na kuhakikisha kuwa Iran haipati silaha za nyuklia kamwe.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...