Search This Blog

Wednesday, April 14, 2021

Hiki hapa kikosi cha Simba dhidi ya Mtibwa Sugar


 LEO Uwanja wa Mkapa, Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes inatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkapa kusaka pointi tatu mbele ya Mtibwa Sugar.

Gomes aliweka wazi kwamba atawashushia wapinzani wake kikosi kamili ili kupata pointi tatu muhimu ili kutimiza lengo la kutwaa ubingwa.

Hiki hapa kikosi cha Simba ambacho kinatarajiwa kuanza leo kwa Mkapa:- Aishi Manula.

Shomari Kapombe.


Pascal Wawa.


Joash Onyango.


Mohamed Hussein, 'Zimbwe'.


Bernard Morrison.


Taddeo Lwanga.


Jonas Mkude.


Luis Miquissone.


Clatous Chama.


Meddie Kagere.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...