Search This Blog

Friday, February 19, 2021

Waziri Philip Mpango anapatiwa matibabu jijini Dodoma, amesema amewaombea msamaha wale wote waliozusha kuwa amefariki dunia- JPM

 


Rais Dkt. John Magufuli amesema kuwa Waziri wa Fedha, Dkt. Philip Mpango anapatiwa matibabu jijini Dodoma na kwamba afya yake inaendelea kuimarika.

Katika ujumbe wake kwa Rais Dkt. Magufuli, Dkt. Mpango amesema amewaombea msamaha wale wote waliozusha kuwa amefariki dunia.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...