Search This Blog

Friday, February 12, 2021

Tanzia: Waziri wa zamani wa Katiba na Sheria, Balozi Bakari Mwapachu amefariki dunia

 


Waziri wa zamani wa Katiba na Sheria, Balozi Bakari Mwapachu amefariki dunia leo alfajiri February 12,2021 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu, Msemaji wa Familia Bashiri Mwasora amethibitisha kutokea kwa kifo hicho.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...