Search This Blog

Thursday, February 11, 2021

Boateng aondolewa katika kikosi cha Bayern, baada ya kufiwa na Ex wake


Saa chache baada ya taarifa kutoka mwanamitindo na mpenzi (Kasia Lenhardt) wa zamani wa staa wa FC Bayern Jerome Boateng kuwa amefariki Dunia jana ikiwa ni wiki moja baada ya kuachana, Boateng amejiondoa katika kikosi cha Bayern nchini Qatar.

Boateng ataukosa mchezo wa fainali ya Club Bingwa Dunia kati ya FC Bayern dhidi ya Tigres UANL ya Mexico ambapo utachezwa kesho nchini Qatar.

Kasia (25) alikutwa amefariki usiku wa Jumanne katika apartment yake Mjini Berlin nchini Ujerumani.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...