Search This Blog

Monday, February 22, 2021

Aliyekuwa Gavana wa BOT Prof. Benno Ndulu amefariki dunia


Aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Benno Ndulu, amefariki dunia leo asubuhi.

Profesa Benno Ndulu alikuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka 2018. 

Profesa Ndulu pia aliwahi kuwa Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na pia aliwahi kufanya kazi Benki ya Dunia.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...