Search This Blog

Sunday, January 10, 2021

Watu 9 wapoteza maisha katika shambulizi


Watu tisa wameuawa katika shambulizi la silaha wakati wa mazishi huko Mexico.

Kundi la watu wasiojulikana lilishambulia kwa risasi watu waliokuwa wameenda kuhudhuria mazishi kwenye mji wa Celeya, katika jimbo la Guanajuato, 

Watu 9 walifariki katika shambulizi hilo, mtu 1 alijeruhiwa.

Mamlaka yameripoti kwamba washambuliaji wamekimbia na uchunguzi umeanzishwa kuhusu tukio hilo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...