Search This Blog

Sunday, January 10, 2021

VIDEO: Mpango maalum wazinduliwa kuwabaini walemavu

Wizara ya Elimu, Sayansi na teknorojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI imeandaa mpango kabambe wa kubainisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu nchi nzima kwa lengo la kuhakikisha wanaadikishwa shuleni mwaka 2021 hii ikiwa imekuja baada ya serikali kubaini kuwa baadhi ya wazazi wamekuwa hawawapeleki shuleni watoto wenye mahitaji maalumu.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...