Search This Blog

Monday, January 11, 2021

Watu 13 wamefariki katika maporomoko ya ardhi Indonesia


Watu 13 wamefariki katika maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa kwenye kisiwa cha Java cha Indonesia.

Maporomoko ya ardhi yalitokea katika kijiji cha Cihanjuang magharibi mwa kisiwa hicho.

Jitihada za kutafuta na kuokoa zinaendelea katika mkoa huo.

Mvua inatarajiwa kuendelea kwa siku chache zaidi.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...