Search This Blog

Thursday, January 21, 2021

Tanzia: Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Kigoma afariki dunia

 


Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig.Jen Mstaafu Emmanuel Maganga amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Milambo Mkoani Tabora usiku wa kuamkia leo.

RC wa Tabora Dr. Philemon Sengati amethibitisha kutokea kwa msiba huo “moyo wake ulifeli, alikuwa na Kisukari na Presha, amefia Milambo Hospital Mkoani Tabora”



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...