Search This Blog

Friday, January 1, 2021

Ripoti ya waliozaliwa Januari 1, 2021 Muhimbili


Katika usiku wa kuamkia mwaka mpya, Januari 1, 2021, jumla ya watoto 6 wamezaliwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili - Upanga.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na idara ya Habari ya Hospitali hiyo, kati ya watoto hao wanne ni wakiume na wawili ni wa kike.

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa watoto wanne wamezaliwa kwa njia ya kawaida na wawili kwa njia ya upasuaji. 

Kuhusu afya zao, taarifa imeeleza kuwa watoto wote wapo salama pamoja na mama zao wote wana afya njema kabisa.

 



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...