Search This Blog
Sunday, January 24, 2021
Makamu wa Rais azindua wiki ya sheria na miaka 100 ya mahakama nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza matembezi ya Uzinduzi wa Maadhimisho ya wiki ya Sheria Nchini na kutimia Miaka 100 ya Mahakama Kuu yaliyoadhimishwa leo Januari 24,2021 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. wa pili kulia Jaji Mkuu Prof. Hamis Ibrahim Juma na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Mwigulu Nchemba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...





No comments:
Post a Comment