Search This Blog

Sunday, January 17, 2021

Majaji wa kike washambuliwa na kuuawa Afghanistan


Majaji 2 wa kike wameripotiwa kupoteza maisha katika shambulizi la silaha kwenye gari katika mji mkuu wa Kabul, nchini Afghanistan.

Idara ya polisi ya Kabul ilitangaza kwamba majaji wa kike walishambuliwa na watu wasiojulikana kwenye eneo la Kale-i Fethullah katika mji mkuu.

Majaji hao wa 2 wa kike walifariki katika shambulizi hilo, na wengine 2 walijeruhiwa.

Hakuna mtu yeyote aliyedai kuhusika na shambulizi hadi kufikia sasa.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...