Search This Blog

Thursday, January 7, 2021

Bunge lamuidhinisha Joe Biden kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais Marekani


Bunge la Marekani limepiga kura ya kumuidhinisha rais mteule Joe biden kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliopita.

Bunge hilo lilimuidhinisha Biden kwa kura 282 huku wabunge 138 wakipiga kura ya kupinga matokeo ya jimbo la Pennsylvania.

Bunge la seneti lilikataa pingamizi kama hiyo.

Bunge la uwakilishi pamoja na lile la Seneti litaendelea kuhesabu kura za wajumbe zilizosalia ili kumuidhinisha Joe Biden kuwa rais mtarajiwa wa Marekani.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...